Thursday, August 27, 2015

Unapoenda dukani kununua mapambo ya kiutamaduni fahamu dondoo hizi

Mandhari nzuri ya mapambo ndani ya nyumba ni ile ambayo inahakikisha umezungukwa na vitu na rangi ambazo unazipenda. Uwezo wa kuweka pamoja vitu hivi, kwa jinsi ambayo vileta muonekano wa kuvutia sio lazima iwe ni kitu cha kuzaliwa nacho.

Thursday, August 20, 2015

Dondoo za kufahamu kabla hujanunua taa za mezani

Taa za mezani ni muhimu kwa kila chumba  si tu kwa ajili ya  mwanga bali pia ni moja ya pambo la kuongeza rangi na staili. Kuzinunua inabidi kuwa makini ili usipoteze hela yako na muda vile vile. Hapa nimekuandalia dondoo unazopaswa kuzingatia wakati wa kufanya manunuzi.

Friday, August 7, 2015

Mke wa Dk. Slaa afunguka

Siku moja baada ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kuzungumza na mwananchi na kusema yupo salama, mke wake, Josephine Mushumbusi amekanusha tuhuma zilizozagaa kuwa ndiye aliyemshauri kiongozi huyo wa Chadema kujiuzulu na kumzuia kushiriki vikao muhimu vya chama.

Thursday, August 6, 2015

Wednesday, August 5, 2015

Awesome!... Bibi miaka 89 anapokuwa mmoja wa bridemaids wa harusi ya mjukuu wake


At the dear old age of 89, Nana Betty is fast winning the heart of the nation after acting as her granddaughter’s bridesmaid.
Elizabeth Govern (or Nana Betty as her family call her) was asked by her granddaughter Christine to be one of her four bridesmaids because they’re BFFs and by the looks of things she stole the show.
Photos of the gorgeous granny have gone viral as she proved that being a bridesmaid shouldn’t just be left to the young ‘uns.