Friday, November 20, 2015

RANGI 5 ZA MARBLE KWA AJILI YA KAUNTA ZA JIKO ZINAZOTAMBA KWA SASA


According to wauzaji wa marble za kaunta za majiko rangi hizi hapa chini ndio ziko kwenye chati.
Hii inafanana na ubwabwa...ukiwa unasafisha inabidi utoe jicho la nguvu

Marble zinaweza kupata madoa. Hii ya mchuzi mchuzi itawafaa wasiosafisha papo kwa papo

Kwa zile familia zenye mishe nyingi hii itawafaa kwa ajili hata mtu bahati mbaya akikatia kitu kwa kisu alama ni ngumu kuonekana.

Marble hii inapendelewa na wale wanaopenda jiko jeupe. Wengine huenda na weupe huo hadi kwenye makabati.

Kaunta za marble ni rahisi kutunza na kusafisha na pia ni maridadi ulinganisha na za malighafi nyingine.

Je, unauza bidhaa au huduma inayohusu nyumba na bustani ambayo unataka Watanzania waijue? Nijulishe simu/whatsapp 0755200023


No comments:

Post a Comment