Thursday, May 6, 2021

NAMNA YA KUEPUKA WIVU

 FOLLOW Instagram @vivinavisa vyake


Ili uweze kuwa na mahusiano mazuri ni lazima ujifunze namna ya kuepuka wivu. 

Kila mtu ameumbwa na wivu tofauti kati ya muonekano wa wivu wa mmoja na mwingine ni ninsi unayemdani hana wivu anavyoweza kuukabili wivu wake na yule unayemuona ana wivu ni jinsi asivyweza kuukabili wivu wake.

Hivyo basi ili kuepuka kuonyesha kiwango cha wivu wajo waziwazi ili hatimaye uwe na furaha na pia na mahusiano mazuri na watu inabidi ufanye yafuatayo:
1. Usijilinganishe na safari ya mwingine maana kila mtu bhapa duniani ana safari yake ya kipekee.
2. Huenda hauko kwenye hatua kama ya unaowaonea wivu kwa ajili |Mungu amekupangia kuna jema lako linakusubiri
3. Muonekano wa wengine unaweza kuona ni mrahisi kumbe hujui stori yao yote.
4. Epuka kufuatilia ya wenzingine maana kunaweza kukuvuruga kazana na kufanya yako.
5. Chagua kuangali na kufanyanya yake yakupayo furaha.

Kama unatatizo linalopelekea kukosa furaha na maendeleo ya nafsi yako njoo tuzungumze simu 0755200023


No comments:

Post a Comment