Friday, July 16, 2021

HATUA ZA KUTATUA TATIZO ILI UBAKI NA HESHIMA YAKO

 Follow Instagram |@vivinavisavyake

Ukipatwa na tatizo kama unataka ulitatue kwa jinsi ambayo mwishoni utabaki na heshima yako basi fuata hatua hizi.

1. Unapolipokea usihamaki bali lijue tatizo kwa undani na kwa ukweli
2. Fahamu unachotaka kutokana na hilo tatizo.
3. Angalia mifumo iliyopo na uchague utakaoweza kutatua tatizo lako.
4.Fuatilia mfumo uliochagua je unatatua ama unaongeza tatizo.
5. Kama mfumo uliochagua unatatua basi utakupatia suluhisho na kama hautatui badilisha chagua mwingine.
6. Anza kutekeleza suluhisho.

Pia kwa undani zaidi unaweza kufuatilia you tube search Vivi Na Visa Vyake

No comments:

Post a Comment