Sunday, October 18, 2015

Inasikitisha nyumba ya Mheshimiwa Mbatia yaungua

Kwa mujibu wa taarifa za habari ni kwamba nyumba ya Mheshimiwa Mbatia imeungua kutokana na umeme mkubwa. Hii inatukumbusha wenye nyumba umuhimu wa kukatia insurrance nyumba zetu kwani chochote kinaweza kutokea. Pole sana Mbatia

No comments:

Post a Comment