Saturday, October 17, 2015

Picha ya nyumba ya marehemu Mheshimiwa Deo Filikunjombe

Haya ni makazi ya aliyekuwa mbunge wa Ludewa yaliyopo eneo la Kijichi
Dar es Salaa. bila shaka msanifu wa hili jengo aliitendea haki taaluma yake. Pumzika kwa amani mheshimiwa Filikunjombe

No comments:

Post a Comment