Monday, April 26, 2021

Dida Achumbiwa

follow instagram @vivinavisavyake




Mtangazaji wa kipindi cha mashamsham mrembo Dida Shaibu wa radio wasafi amechumbiwa.

Dida amekua ni mrembo mwenye bahati ya ndoa ambapo ameshapitia ndoa kadhaa kama pia ilivyo kwa watu wengine maarufu mfano Shilole na Hadija Kopa. 

Mdau je, ni muda gani ukiwa na mpenzi ukiona hamvalishani pete utabwaga manyanga?

No comments:

Post a Comment