Sunday, October 13, 2013

mvua hiyoo.. anza kusafisha mifereji

unaweza usiwe na gutter kama hizi kwenye picha, ila kinachojalisha ni mfereji wake. kama mfereji umejaa majani na tope ni rahisi kusafisha mwenyewe, chukua ngazi uanze kusafisha. ila kama nyumba ni ya ghorofa inaweza kubidi kuita mtaalam.

No comments:

Post a Comment