Monday, October 7, 2013

nimekuwa bize na kufua gauni la bibi harusi

ian dc tunafua pia nguo za mabibi harusi..karibu sana..leo nilijipinda na hii moja peke yangu kwani ina virembo vingi nikataka kuifanya mwenyewe ili niweke umakini zaidi (usininukuu vibaya kuwa wafanyakazi wangu sio makini...wao ni makini lakini mimi ni makini zaidi..lol) isijeharibika. bei ya kufua nguo kama hii ni 25K tu..hivi wapendwa tunavyoita gauni la bibi harusi shela ni sahihi kweli? je kama gauni ni shela na kile cha kichwani tunakiitaje.

gauni

head piece..je hii si ndio shela na lile ni gauni?? wapi bakita...

No comments:

Post a Comment