Wednesday, October 9, 2013

'''vitu vizuri''...huu unyunyu...

huyu dada ni mteja wangu na mara kwa mara tunakutana ofsini kwangu..ila kwa leo hizi nywele zimenikosha. sikumbuki kuwahi kusuka rasta kichwani  kwangu jamani. du du!!


ameniambia hizi ni rasta za kusuka vitunguu ila mbwembwe ziko kwenye kubana!

No comments:

Post a Comment