Tuesday, July 11, 2023

DIVA AMETANGAZA KUACHANA NA MUMEWE

Mwanahabari mtangazaji wa media ya Wasafi Diva Malinzi aka Diva the bawse ametangaza kuachana na mumewe Sheikh Abdulrazak Salum.

Diva amesema Abdulrazak ambaye ni mtaalam wa mahusiano kupitia visomo vya dini ni mpigaji, muongo na mnyanyasaji na amewaonea huruma wateja wake (wa Abdul).

Diva anasema Abdul amemtesa sana kwa kipindi cha ndoa yao ya mwaka na nusu.

Diva aliwahi kusema Abdul ana watoto watano aliozaa na wanawake wengine mbalimbali na alijitolea kwa moyo mweupe kuwa mama yao wa nyongeza.

Nifollow instagram @ViviMachangeBlog

Kwa Matangazo ya Biashara nicheki 0755200023



No comments:

Post a Comment