Sunday, July 9, 2023

PADRE AMEFARIKI ASUBUHI BAADA YA KULALA USIKU MZIMA NA KIPENZI CHAKE HOTELINI



Padre wa Kanisa Katoliki parokia ya St Peters Ruai nchini Kenya amefariki baada ya kulala na mpenzi wake usiku mzima hotelini huko Murang'a.

Padre huyo ambaye ametambulika kama Joseph Kariuki Wanjiku (43) amefariki jana asubuhi julai 8 baada ya kukimbizwa hospitali na mpenzi wake akishirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa hoteli waliyokuwemo.

Ripoti ya polisi inasema wapendanao Joseph na kipenzi chake (32) waliingia hoteli ya Monalisa Delview Gatanga ijumaa jioni.

Padre akaanza kujisikia vibaya jumamosi asubuhi.

Mpenzi wa Joseph mwanadada ambaye jina limehifadhiwa naye anafanya kazi katika parokia aliyokua anahudumu padre Joseph.




Follow @vivimachangeblog

MATANGAZO 0755200023

No comments:

Post a Comment