Thursday, January 22, 2015

Chandelier hizi ndio taa za kisasa zaidi kwa ajili ya dining room

Huenda uko kwenye harakati za kuwa na kiota chako binafsi (hata ndege wanacho kwanini wewe ushindwe), usiweke tu kibalbu kimoja au viwili kwenye chumba cha dining. Dining ni muhimu iwe na mwanga wa kutosha kwa ajili walaji waone chakula wasije wakalia humo mende.....ha ha haha  ahaaa. Hizi hapa basi ndio chandelier za kisasa zaidi kwa ajili ya dining yako hiyo mpya. Japo vyumba ni vya mamtoni usijali we tazama taa tu halafu wakati wa kununua za kwako utakuwa tayari una idea...






No comments:

Post a Comment