Thursday, June 28, 2018

Tunatengeneza mashelfu ya maduka




Wengi wetu tumechukua fursa ya kujiajiri kwa kufungua maduka ya dawa, stationery, nguo, salon, vyakula na mengine mengi, mbalimbali.

Endapo utakuwa na hitaji la kutengenezewa na kuwekewa mashelfu na front desk /kaunta za kiwango basi usisite kuwasiliana na mimi. Kama ninavyosema mara kwa mara kuwa nina jicho la vitu vizuri, hakika hutajuta kunipa nikufanyie kazi yako.
Simu 0755200023 Sinza Shekilango

No comments:

Post a Comment