Sunday, May 31, 2015

Katuni huwa zinafurahisha..


ATUPWA JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 9......ALIMKAMATA KWA NGUVU AKAMWINGIZA CHUMBANI KWAKE NDIPO AKAMBAKA

Mkazi wa Malampaka mkoani Simiyu, Benedictor Bulobo (30) , ametupwa gerezani atakakotumikia kifungo kwa miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka binti wa miaka tisa.

Alihukumiwa 

MTOTO WA MIEZI MITATU ANYAKULIWA NA FISI AKIWA MGONGONI KWA MAMA YAKE

Watu wawili wamefariki dunia mkoani Simiyu katika matukio tofauti akiwamo mtoto wa miezi mitatu aliyenyakuliwa na fisi akiwa mgogoni mwa mama  yake.

Flaviana Mambo Yake Yazidi Kumnyookea

Mwanamitindo afanyaye kazi zake za uanamitindo nchini Marekani, Flaviana Matata amekuwa akifanya kazi mbalimbali za kuonyesha mavazi jukwaani

Lowassa Atangaza Nia ya Kugombea Uraisi

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa ambaye pia ni waziri mkuu wa zamani wa Tanzania, akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea ofisi ya CCM mkoa wa Arusha. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Arusha, Bw.Onesmo Ole Nangole.
Kinyang’anyiro kwa kuwania uteuzi wa kugombea urais kwa tiketi ya chama tawala cha CCM nchini Tanzania, kimepamba moto  kwa  kwa staili ya aina yake .

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa ambaye pia ni waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Jumamosi amejitokeza

Saturday, May 30, 2015

Idadi ya watoto wanaozaliwa Ujerumani imepungua kuliko nchi zote duniani

Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Ujerumani imepungua zaidi ya mataifa yote duniani.
Utafiti umeonesha kuwa idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Ujerumani ndiyo ya chini zaidi duniani na sasa kunahofu kuwa kupungua kwa uzazi kutaathiri pakubwa uwezo wa vijana kuendeleza kasi ya ukuaji wa uchumi wa taifa hilo tajiri zaidi barani Ulaya.

KUANDIKA WOSIA SIO UCHURO KAMA WENGI MNAVYODHANI..

Wazri Mkuu Mizengo Pinda amewataka Watanzania wote wajenge tabia ya kuandika wosia ili kuondoa matatizo ya mirathi pindi mwenza au mme anapoaga dunia.

 Alitoa wito huo jana  wakati akizindua kampeni ya kuandika wosia

BIZARRE: Hata vibonge wana mvuto..


Jessamyn Stanley, 27, who lives in Raleigh-Durham, North Carolina, and posts to Instagram under the handle @mynameisjessamyn, has attracted more than 42,000 followers in the last two years sharing images of challenging forearm stands and intense back bends.

Jinsi ya Kuuteka Moyo wa Mwanamke

lol..hii makala ni ndefu ila hutajututia muda wako kuisoma..tunajifunza kila leo.
KATIKA ulimwengu wa mapenzi, baadhi ya wanaume hujikuta katika wakati mgumu, kutokana na kushindwa kuwashawishi wanawake hata wakawapata kimapenzi, iwe katika mapenzi ya kawaida, au hata uchumba ambao hatima yake ni ndoa. 

Ukweli kuhusiana na suala hili ni kwamba vijana wengi wa siku hizi hawafahamu jinsi ya kukabiliana na wanawake, ama kwa kuwa hawapati mafunzo ya kutosha kutoka kwa wazazi wao, au pengine kutokana na wanawake wa sasa kuwa wajanja, kiasi kwamba wanawatisha na kuwakatisha tamaa mapema.

Wednesday, May 27, 2015

Picha: Waziri mkuu Pinda alipotembelewa NYUMBANI kwake na mwanafunzi Albert

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mtoto Albert Kanan wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Ilalangulu wilayani Mlele ambaye alikwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu katika kijiji cha Kibaoni akiomba kupiga naye picha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Kama wewe ni mmoja wa wanaopenda vitu vizuri hizi hapa ni njia za gharama nafuu kabisa za kuboresha bafu lako

Haya wapendwa..kama una hela kidogo tu unaweza kufanya haya kupendezesha bafu lako..ila kama huna basi ridhika kubaki na bafu outdated..

1. Badilisha mfuniko wa choo, na hii huwa inauzwa peke yake bila bakuli..hata maduka kama game unapata.

Mmmh...Mwanasheria Kenya yuko tayari kutoa ng'ombe 50, kondoo 70 na mbuzi 30 ili amuoe Malia Obama

A Kenyan lawyer has offered US president Barack Obama 50 cows and other assorted livestock in exchange for his 16-year old daughter Malia's hand in marriage, a report said Tuesday.
Felix Kiprono said he was willing to pay 50 cows, 70 sheep and 30 goats in order to fulfil his dream of marrying the first daughter.
"I got interested in her in 2008," Kiprono said, in an interview with The Nairobian newspaper.

Hii sijui niite picha au kibonzo....Foleni ya kuelekea ikulu

lol..just caught my eye..

Utafiti wa SSSRC kubaini kiongozi chaguo la kwanza kwa Wananchi, Lowassa anaongoza akifuatiwa na Slaa

Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.
 
Utafiti huo uliofanywa

Tuesday, May 26, 2015

Mengi Hajaridhishwa na Majibu ya Ikulu Kuhusu Usalama Wake

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, ameeleza kusikitishwa dhidi ya majibu yaliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu kuhusu taarifa za kamchafua zilizochapishwa na gazeti la Taifa Imara Machi 20, mwaka huu.

Dk. Mengi, alisema

INASIKITISHA SANA! Mtoto Alawitiwa na Kuuawa Kilimanjaro....Kisha Akakatwa Sehemu za Siri

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence Ngonyani
WATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.

Monday, May 25, 2015

Lowassa amesema haya leo nyumbani kwake Dodoma katika mkutano na wahariri wakuu wa vyombo VYOTE vya habari

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa amesafirisha wahariri wakuu wa vyombo vyote vya habari toka Dar es salaam na kufanya nao mkutano maalum leo nyumbani kwake mjini Dodoma. Katika mkutano huo kwa ufupi Lowassa amesema yafuatayo;

1: Amesema hahusiki lolote na sakata la Richmond na ndio sababu hata

Mwigulu Nchemba Ajiuzulu

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Bw. Mwigulu Lameck Nchemba amejiuzulu kuanzia jana na nafasi yake kuchukuliwa na Mshauri wa Rais Jakaya Kikwete katika masuala ya Kisiasa, Bw. Rajabu Luhwavi.

Bw. Nchemba ambaye pia ni Naibu Waziri

Madiwani washtukia ndoa feki za walimu...Baadhi ya walimu wa kike wanagushi vyeti vya ndoa kuwa wameolewa na wanawafuata waume zao mjini

BAADHI ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, wamesema tatizo la upungufu wa walimu kwenye shule za msingi zilizopo vijijini kunachangiwa na walimu hasa wa kike kutaka kufundisha mjini.

Walisema baadhi ya walimu wa kike wamekuwa wakighushi vyeti vya ndoa ili

Askofu Gwajima, Flora Mbasha Waibukia CHADEMA

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, jana aliibukia kwenye mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Kawe, Dar es Salaam.

Mkutano huo ulikuwa wa uzinduzi

Mgombea uraisi CCM kujulikana July 12...Wagombea watachukua na kurudisha fomu bila shamrashamra

MGOMBEA Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) atajulikana Julai 12 mwaka huu baada ya kukamilisha mchakato mzima wa kuomba kuwania nafasi hiyo, kutafuta wadhamini na kujadiliwa katika chama hicho.

Sunday, May 24, 2015

Inasikitisha! MKE NA MUME WAUAWA KWA KUCHINJWA KAMA KUKU

Watu wawili, mke na mume wakazi wa  Makambo, wilayani Mlele, wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na kutenganishwa kichwa na kiwiliwili wakati wakiwa wamelala.

Zitto amechukua fomu za kugombea ubunge Kigoma Mjini....Amesema ameshatimiza kila kitu Kigoma Kaskazini kwa hivyo haoni sababu za kuwawakilisha tena

Safari ya mbunge wa zamani wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema, Zitto Kabwe kurejea bungeni imeanza rasmi baada ya kiongozi huyo wa chama kipya cha ACT-Wazalendo kuchukua fomu za kuwania kuongoza jimbo la Kigoma Mjini.

Uamuzi huo wa kulitaka jimbo

ULIMWENGU WA MACELEB: Hili begi/pochi angeibeba mwanaume wa kibongo ungemwelewa?


floydmayweatherMe and @dejuanblake headed to Seattle, WA on#AirMayweather to pick up some $$$$. No luggage. Just my Diamond Hermes Hac 50 Ostrich Money Bag. 

Saturday, May 23, 2015

Adebayor amepewa mapumziko aende akasuluhishe mgogoro na familia yake

Mchezajii wa kilabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor amepewa mapumziko kwa mara ya pili msimu huu lakini hatma yake katika kilabu ya Spurs haijulikani.

Mchezaji huyo wa taifa la Togo mwenye umri wa miaka 31 ameandika kuhusu matatizo ya famili yake katika mtandao wa facebook na kusema kuwa alikuwa ameamua kujiuua.

Selasini ajipalia mkaa kuhusu wanawake Rombo na pia ombi la gongo ihalalishwe

Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini
Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini amejipalia makaa kwa kukanusha taarifa za wanaume wa jimbo hilo  kupoteza nguvu za kufanya tendo la ndoa kutokana na ulevi. Pia kauli ya kumtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda atumie nafasi yake kuhalalisha biashara ya pombe haramu ya gongo kwa madai kuwa inawaingizia kipato watu wa hali ya chini imelaaniwa.

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro,

Super Saturday..





PICHA: Tuzo za Watu....Nancy na Luca wanapendeza..


Chemistry yao iko vizuri..wakiendelea hivihivi watafika mbali

PICHA: Mtoto "anapolianzisha" mbele ya raisi Obama..

Hebu fikiria jinsi unapokuwa kwenye hadhara iliyotulia, kwa mfano kanisani halafu mtoto analianzisha..unajisikiaji watu wote kimya mwanao tu ndio kacharuka kwenye kadamnasi. Sasa huyu kaamua kabisa mbele ya raisi wa dunia..utoto raha sana.

Waliokacha JKT bila ridhaa ya jeshi upo uwezekano wa kwenda mwezi ujao - HUSSEIN MWINYI

Waziri wa Ujenzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amesema vijana wote waliohitimu kidato cha sita mwaka 2013/14, 2014/15 na kutojiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) bila ridhaa ya jeshi hilo, wanaendelea kusakwa na kuorodheshwa kwenye orodha ya watoro na upo uwezekano wa wao kwenda mafunzo hayo mapema mwezi ujao.

Watu watano wamekamatwa na viungo vya albino wakiwa wanavitafuatia soko

Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga, imewakamata watu watano wanaotuhumiwa kukutwa na viungo vya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino), wakiwa katika harakati za kuviuza.

Akizungumza

Watu wawili wanashikiliwa na polisi kwa kumtukana raisi wa Zanzibar na makamu wake

Raisi wa Zanzibar, Dr. Ali Mohammed Shein
Polisi Zanzibar inawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuwatukana na kuwakashifu viongozi wakuu wa serikali, akiwamo Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi.

Akizungumza

Taarifa rasmi ya CCM kuhusu kikao cha kamati kuu

Kamati Kuu imepokea na kutafakari taarifa ya Kamati ya Usalama na Maadili ambayo ilipitia adhabu waliyopewa wanachama sita waliokiuka kanuni za Maadili na kupewa Onyo Kali, adhabu iliyodumu kwa kipindi kisichopungua miezi 12.

Friday, May 22, 2015

ULIMWENGU WA MACELEB: Bila shaka Kim K ni mama mzuri..Kumbeba mtoto mkubwa hivi inaweza tengua kiuno..


Kim K na binti yake Nori..Kwa picha zaidi

Kama ulikuwa hujui, Michelle Obama ni Team Natural...Badala ya kutegemea madawa yeye nywele zake huwa anazinyoosha tu...Manaturalista hapo mtakuwa mmefurahi!

Although we don’t really need another reason to love our Michelle Obama, here’s another: she’s a naturalista!
Yes, you read correctly. Michelle Obama stopped chemically treating her hair years ago. Celebrity stylist Johnny Wright, who takes care of the FLOTUS’ tresses, recently discussed Lady O’s hair with The Root.
Instead of relying on chemicals, Wright says that he straightens Lady O’s hair with a flat iron. While he wouldn’t say for sure whether or not we’ll ever see Mrs. Obama stepping out rocking her natural ‘fro, Wright says that it’s definitely a possibility.

Njia tano za kupamba jiko lako..

Kama tujuavyo wanasema jiko ni moyo wa nyumba kwa hivyo lazima liwe na style..Hizi hapa ni njia 5 rahisi kabisa za kuleta mvuto huo..
1. Kwa kutumia sanaa
Art can bring sophistication to your kitchen. And if your lacking color or texture, use art to bring those elements in.

2. Trays
You can use trays a number of ways. They are great for displaying oils, candles, bottles, anything that looks messy on its own.

Yona, Mramba wamefunga utetezi mahakamani na sasa kinachosubiriwa ni hukumu....Ni katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya sh bilioni 11.7

WAZIRI wa zamani wa Wizara ya Fedha, Basil Mramba, Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona na aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Gray Mgonja wamefunga utetezi na sasa wanasubiri hukumu ya mahakama.

MTOTO MIAKA 15 AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUMNYONGA MWENZAKE MIAKA 9....ZIPO TAARIFA PIA HUENDA ALIANGUKA GHAFLA SEBULENI

JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kolla Hill, Judith Chomile (15) kwa tuhuma za mauaji.
Mwanafunzi huyo anadaiwa kumnyonga ndugu yake, Edrin Mafwele (9) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Benard Bendel iliyopo Manispaa ya Morogoro.

Tukio hilo lilitokea juzi usiku wakati watoto hao walipokuwa nyumbani kwao.
Baba wa marehemu Edrin Mafwere aliyefahamika kwa jina la Barnabas Mafwele, mkazi wa eneo la Kola, alisema jana kuwa mtoto wake alinyongewa chumbani.

Aunty Ezekiel sasa ni mama Cookie..

Baba na mama Cookie
Staa wa Bongo Movies, Aunty Ezekiel amejifungua mtoto wa kike siku ya Alhamis May 21. Mtoto huyo wa Aunty Ezekiel ambaye baba yake ni dancer wa Diamond aitwaye Mose Iyobo, amepewa jina la Cookie.

UGONJWA WA AJABU MEATU....Dalili zake ni kuumwa kichwa, kikohozi kikavu, mwili kulegea, kuchanganyikiwa akili pamoja na kupoteza fahamu....Sampuli zimepelekwa Nairobi kwa uchunguzi..

IDADI ya wagonjwa ambao wameugua ugonjwa wa ajabu katika kata 6 za wilaya ya Meatu mkoani Simiyu imezidi kuongezeka hadi kufikia 1,048.

Mganga Mkuu wa wilaya ya Meatu,

Vanessa Mdee amefiwa na dada yake mkubwa..

Muimbaji mahiri Vanessa Mdee amefiwa na dada yake mkubwa Anna Mdee, ambaye amefariki katika hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam,  jana Jumatano alfajiri. 

Filamu chafu za mabanda ya vichochoroni zinasababisha wanafunzi wasihudhurie shule

MH. BETTY MACHANGU, MBUNGE VITI MAALUMU CCM
Serikali imetakiwa kupiga marufuku uonyeshaji wa filamu chafu kwenye mabanda ya vichochoroni kwani zinasababisha wanafunzi wengi kutohudhuria mashuleni na badala yake kwenda kuangalia picha hizo.

Migomo ya wanafunzi vyuo vikuu sasa imesambaa nchi nzima

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Dhukuru Kawambwa
Migomo ya wanafunzi wa vyuo vikuu iliyoanza juzi kuishinikiza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kuwalipa fedha za kujikimu, sasa imesambaa nchi nzima.

Jeshi la Polisi Wilaya ya Temeke jana

VIKAO VIZITO VYA CCM KUANZA LEO....Ajenda muhimu katika mikutano hiyo ni ratiba ya uchaguzi pamoja na kuwapata wagombea wa chama hicho ngazi zote.

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimejigamba kitatoka katika vikao vyake muhimu vya Kamati Kuu (CCM) na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyoanza mjini hapa leo kikiwa imara kuliko hapo awali.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye wakati akijibu swali kuhusiana na vikao vizito vya chama hicho vinavyoanza leo.

Nnauye alikuwa anaelezea maandalizi ya vikao vya kamati kuu kinachotarajia kuanza leo na halmashauri kuu ambayo itaanza kikao chake cha siku mbili kesho. Katibu huyo amesema

Wanawake wa Chechnya wazuiwa Kutumia WhatsApp


Kiongozi wa Chechnya, Ramzan Kadyrov

Nimekutana na hii habari nikafurahi. Wanawake hao wamenyimwa kutumia whatsapp kutokana na binti wa miaka 17 aliyelazimishwa kuolewa..nilipost hii habari huko nyuma tatizo sijajua kuweka link ningeweka hapa..


Kiongozi wa Chechnya Ramzan Kadyrov amewataka wanaume kuwazuia wake zao kutumia mtandao wa kijamii wa WhatsApp baada ya mada ya ndoa ya lazima kusambaa katika ujumbe mfupi wa simu.
Kadyrov amekaririwa akisema "wafungieni ndani, msiwaache wakatoka nje, kwa hiyo hawatatuma chochote,"

Bwana Kadyrov mapema aliunga mkono ndoa ya afisa wa Polisi kumwoa msichana wa miaka 17, japokuwa alikuwa tayari

Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma shule za msingi Kenya Wamefukuzwa....Inadaiwa chanzo ni msuguano katika kuwaondoa wahamiaji haramu

BERNAD MEMBE, WARIZI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mamia ya wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika shule za msingi nchini Kenya, wameripotiwa kufukuzwa nchini humo.

Tayari 50 kati yao, wamerejeshwa

Thursday, May 21, 2015

PICHA: Beautiful Miss Rwanda..

Kama Malia Obama vile...na yule wa Kagame pia..


Iga style ya kufunga kilemba

Wanyarwanda wazuri jamani..

Doriane Kundwa, 19years old and student from the Northern Province of Rwanda, was crowned as the MISS RWANDA 2015 beating 14 other contestants. She was given a Suzuki Swift and will receive a monthly salary of $1000 during her reign. She also became brand ambassador for telecommunications company Airtel.