Monday, July 27, 2015

Bobbi Kristina, mtoto wa pekee wa Whitney Houston afariki dunia


Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.

Friday, July 24, 2015

Jinsi ya kupamba nyumba yako kwa kuhusisha milango yote mitano ya fahamu

Msomaji wangu kichwa cha makala hii  ni kama vile kinakurudisha darasani! Je, unaikumbuka milango mitano ya fahamu? Mara nyingi tunasahau, wakati wa kupamba nyumba zetu tunazingatia mlango mmoja tu wa fahamu ambao ni macho. Ni vyema kuhusisha

Friday, July 17, 2015

Faida za bafu lenye bomba la mvua dhidi ya lile lenye sinki la kuogea


Karibu msomaji wangu kwenye makala ya leo ambapo tunaangalia faida za bafu lenye bomba la mvua dhidi ya lile lenye sinki la kuogea. Katika kuandaa makala hii nimefanya mahojiano na ndugu Rogers Mwenana ambaye ni muuzaji ma vifaa vya mabafu ya kisasa  kwenye duka moja katikati ya jiji la Dar es salaam.

Rogers anaanza kwa kutuambia kwamba

Tuesday, July 14, 2015

Mzee Yusuph amesema lazima aache muziki

Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yusuph amefunguka na kusema kuwa lazima aache muziki na kufanya kazi zingine nje ya muziki.

Monday, July 13, 2015

Kupenya kwa Dk Magufuli ni kama vita vya panzi furaha ya kunguru..mmh

Hatimaye Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk. John Magufuli, kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Magufuli alipitishwa na CCM baada

Friday, July 10, 2015

Majina Matano CCM Ngoma bado Nzito


  • Mizengwe yatawala hadi usiku wa manane Kamati Kuu kufyeka waliodaiwa kuanza kampeni mapema.

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imejikuta ikiwa katika kibarua kizito cha kuteua watia nia watano kati ya 38 wa nafasi ya urais mjini Dodoma jana usiku baada ya kuwapo kwa msuguano mkali juu ya watu wa kuwaondoa kwa tuhuma za kuanza kampeni mapema.

Wednesday, July 8, 2015

Wakati vikao vya juu vya CCM vya kuchuja wagombea urais vikianza leo, hofu na wasiwasi umezidi


Wakati vikao vya juu vya CCM vya kuchuja wagombea urais vikianza leo, hofu na wasiwasi umezidi kutanda miongoni mwa wagombea, viongozi na wanachama wa chama hicho kuhusu namna ya kuikabili minyukano baina ya wagombea hao na kibarua cha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

Monday, July 6, 2015

AMUUA MKEWE MJAMZITO MIEZI 9 KWA WIVU...Marehemu apasuliwa na mtoto kukutwa kafia tumboni

MLINZI wa usiku katika Ofisi za Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Florence Kazonde (35) amejinyonga baada ya kumuua kikatili kwa kumkaba koo mkewe aliyekuwa na ujauzito wa miezi tisa, Emilia Mzui (30).

Sunday, July 5, 2015

ILANI YA UCHAGUZI CCM YAIVA..

KIKAO Maalumu cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza jana Mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake Jakaya Kikwete, kwa ajili ya kupitisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015.

Amazing Pichaz..



Friday, July 3, 2015

AMEMUUA MWENZAKE WAKIGOMBEA MWANAMKE WA BAA

WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti katika Wilaya za Tarime na Rorya akiwemo mtu aliyeuawa wakati wanagombania mwanamke.

Kwanini tunapamba nyumba zetu?

Ni swali ambalo hatujiulizi sana lakini inabidi tujiulize. Ni vizuri tuwekane sawa kuwa tendo la kupamba nyumba ni la kibunifu na ni muhimu. Lina nia ya kuleta mpangilio kwenye maisha ili kujitoa kwenye mvurugano na machafuko ya jumla ya duniani, kuweza kuweka nguvu zetu za kupamba hata hapo padogo tunapoishi ambapo tuna uwezo napo.

Kwa kufanya hivyo tunaonyesha na

Wednesday, July 1, 2015

INASIKITISHA JINSI MMILIKI WA SHULE ALIVYOUAWA....WAUAJI MBARONI

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua mmiliki wa shule ya Mtakatifu Zion, Anna Mizingi (48) kisha kumtumbukiza katika shimo la choo cha shule hiyo.

KUTOKA KWA MACELEB: Ben Affleck and Jennifer Garner Announce Plans to Divorce


Ndoa ni ngumu wajamen..

After 10 years of marriage, Ben Affleck and Jennifer Garner have announced their plans to divorce.

"After much thought and careful consideration, we have made the difficult decision to divorce,"

Hello July..

Tumeingia katika nusu ya pili ya mwaka, je uko excited?