Saturday, December 3, 2016

UREMBO: Linda ngozi yako isiharibiwe na jua kwa kutumia lotion ya Son Zone

Sun Zone inatakiwa kuwa nawe kwenye pochi yako kila wakati kwa ajili ya kulinda uso na sehemu za mwili zilizowazi zisiharibiwe na jua kali huku ikikuacha ukiwa umenawiri. Kwa mahitaji tuwasiliane 0755 2000 23.
Muonekano mzuri unakuongezea kujiamini. Tupo Moroko

No comments:

Post a Comment