Nay ni baba wa kuigwa..
Nimesoma kwny mazingira magumu sanaaa. Nilikua naona tuh watoto wakishua wakipelekwa shule na school bus, sitaki watoto wangu wasome Kama kwny mazingira yale...
Hii nimenunua kwa ajili ya watoto wangu, #Munie na #Curtis kuwapeleka shule na kurudi.... PrivateSxulBus
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment