Saturday, January 23, 2016

PICHA: Rais mstaafu JK ahani Msiba NYUMBANI kwa marehemu Mkurugenzi wa TAA



Raisi mstaafu JK akihani msiba NYUMBANI  kwa aliyekuwa mkurugenzi wa TAA (Tanzania Airports Authority) Mhandisi Suleiman S Suleiman aliyefariki dunia January 18 mwaka huu majira ya asubuhi wakati akifanya mazoezi ya kuogelea bahari ya hindi eneo la magogoni. Alizikwa jioni ya siku hiyohiyo. Mungu ampumzishe pema.

CHANZO: kajunason.com

No comments:

Post a Comment