Saturday, January 30, 2016

PICHA:.....NI NINI KIPO KWENYE ENEO LA MIGUUNI MWA KITANDA CHAKO?


Unapokuwa na fenicha kwenye eneo la miguuni mwa kitanda chako kunakupa faida kuu mbili. Moja ni eneo la kukaa hasa unapokuwa unajiandaa kutoka. Yaweza kuwa ndio unavaa au unapata kifungua kinywa cha chumbani.

Pili ni eneo la kuhifadhia bed runner na mito yako unayotumia kupamba kitanda lakini usiku huitumii. Badala ya kuitupa sakafuni basi iweke hapo.

Je wewe eneo la miguuni mwa kitanda chako umeweka nini? Nitumie picha 0755 200023

No comments:

Post a Comment