Monday, October 14, 2013

Hizi ni baadhi ya nyumba Mwl alizowahi kuishi

tukiwa tunasheherekea maisha ya Baba wa Taifa la Tanzania leo haya ni baadhi ya yaliyokuwa makazi yake
aliishi kwenye nyumba hii kwa siku 14 tu akaondoka kwenda kwenye matibabu Uingereza ambako alifariki October 14, 1999
 hii ndiyo nyumba ya Mwalimu Nyerere aliyokuwa akifikia alipokuwa akisafiri kwenda Butiama akiwa kama Rais wa Tanzania kati ya miaka ya sitini hadi miaka ya themanini mwanzoni

hii ni nyumba ambayo Chama cha Mapinduzi (CCM) ilimjengea Mwalimu katika miaka ya themanini. Nyumba hii ilijengwa kwenye eneo la mwinuko la Mwitongo kijijini Butiama. ni nyumba ambayo Mwalimu Nyerere aliishi kwa kipindi kirefu baada ya kustaafu uongozi wa Serikali akiwa kijijini Butiama


nyumba iliyojengwa kuzungukia kaburi la Mwalimu Nyerere, eneo la Mwitongo, Butiama
picha kwa hisani ya wavuti

No comments:

Post a Comment