Monday, October 21, 2013

majani kipenzi cha watoto..

yani watoto wakijua kwenye bustani yako kuna mmea huu utakoma. hawatakauka kuja kwako, wanayapenda haya majani ni laini basi wanang'ofoa na kuchezea.. utoto kweli raha.. halafu ukienda kwa rafiki ukiona ua lolote haliko kwenu basi lazima uliombe ukaoteshe kwenu pia...jamani..watoto wa sasa wa dot com wanakosa mengi. kumbuka mtoto ni chini ya miaka 18. lol

No comments:

Post a Comment