Thursday, October 10, 2013

nyumba sio lazima iwe kubwa kinachotakiwa ni unadhifu

nimeshangaa nyumba hii (structure ya kawaida kiasi) ya billionaire wa microsoft niliyokutana nayo mtandaoni aliyonunua hivi karibuni eti!

jengo lenyewe

majirani ni mabilionea wenzie
jiko la kupikia mahanjumati yake, familia yake na wageni wake

sebule na feni zake! sare sare maua kizulia cha jikoni na cha coffee table


eneo la farasi  wake kujidai
picha kwa hisani ya zillow

No comments:

Post a Comment