Tuesday, October 7, 2014

hawa wadudu hawa...watu na tamaduni zao na mapenzi yao kwakweli..

yani nisivyopenda kumfuga huyu mdudu hata nje sembuse kumweka ndani ya nyumba..jamani..haya maisha kweli kipenda roho.. poop yake kama ya binadamu..si unajua misosi yake ni kama ya mtu... ni ile ile. bottom line ni kuwa anayetaka kumfuga na awe tayari kufagia poop.
ukute imechanganyika na minyoo sasa...waweza taapika yani.

halafu sasa, wakianza kubweka usiku kucha wakiungana na wa huko nje ya fensi hata hakulaliki...hapo ni kabla hawajaleta viroboto...lahaula! niwe tu na ulinzi wa aina nyingine lakini sio huyu mdudu.
 ndani ya dabodeka mdudu katulia na kitabu chake pembeni
 madai eti anajenga bond na mwenye nyumba
mdudu anatumia mto kiubwete kabisa

No comments:

Post a Comment