Monday, October 6, 2014

--vitu vizuri-- i cant believe it's October already!

October ndio hiyo na upepeo wake mkali, nimemtembelea rafiki yangu makongo nikakuta kaotesha apples na embe fupi kwenye nyumba yake mpya. Miche hiyo ya ameichukua SUA na ananiambia kwa mi apple inachukua miaka minne hadi mitano ndio uone tunda lake. 

Ninadhani ni vyema zaidi huyu kuotesha miche hii badala ya mti ni mti tuu kwani anafaidi vyote, muonekano wa apple nyekundu ambao ni kama maua, kivuli na tunda lenyewe..na nadhani hata ukiwa unafaidi kivuli likakudondokea kichwani halikuumizi bali ni kudaka na kuosha na kula. Heee he..nisisahau kukujuza kuwa kwenye kula apple usimenye matunda yake kwani utakosa zile fibers.
lazima umeze mate...

No comments:

Post a Comment