Mzigo mpya wa wallpaper umeingia bei sawa na bure roll ni elfu 45 tu na ukichukua mafundi wetu sikuchaji gundi. Mawasiliano kwa unayehitaji 0755 200023
Thursday, March 30, 2017
Seti ya duvet na shuka na shuka na pazia zipo
Duvet 1, shuka 1 na foronya 4 bei 80,000
Shuka 2, foronya 2 na pazia 2 bei 80,000
Tupo mwenge
mawasiliano 0755 200023
Cream iliyochanganywa na pafyum
+
Cream ya asili iliyochanganywa na pafyum kwa ajili ya wanawake na wanaume. Bidhaa za oriflame toka Sweeden ni za asili hazichubui kwahivyo usije ukasikia neno cream ukaogopa. Bei ni 29,000 kwa mahitaji tuwasiliane 0755 200023
Tuesday, March 28, 2017
FAIDA ZA UPIMAJI NA UMILIKI ARDHI (Viwanja na Mashamba)
Surveyor James Aloyce
-Je kuna faida yeyote mwananchi anaweza kuipata endapo ataipima na kumiliki ardhi yake?
Jibu ni ndio mwananchi anaweza akapata faida pindi atakapopima na kumiliki ardhi yake kisheria
-Faida hizo ni zipi anazoweza pata mwananchi huyu aliepima na
Monday, March 27, 2017
Uhusiano kati ya saizi ya marumaru za sakafuni na ukubwa wa chumba
Kwa
kawaida hakuna chumba ndani ya nyumba ambacho unaweza ukasema kuwa hakifai
kuwekwa sakafu ya marumaru, cha muhimu ni kuchagua saizi sahihi kwa mahali
unapotaka kuweka.
Bwana
Hamid 0776 756 197 wa duka la kuuza marumaru la SS Tiles lililopo makutano ya mtaa wa Swahili na Narung'ombeKariakoo anasema kuwa
Sunday, March 26, 2017
GLOVES KWA AJILI YA KUSHIKILIA VITU VYA MOTO ZIPO
Hii seti ni kwa ajili ya kushikilia kitu chochote cha moto hasa sufuria wakati unapopika. Bei ni 10,000
Mawasiliano kwa unayehitaji
0755 200023
Mawasiliano kwa unayehitaji
0755 200023
PODA KWA WENYE NGOZI NYEUSI
Rafiki mpendwa, usikubali kutumia vipodozi usivyokuwa na uhakika navyo kwenye ngozi yako. Bidhaa za Oriflame toka Sweden zina ubora uliothibitika kimataifa.
Hii powder ni kwa wenye ngozi nyeusi na bei ni 55,000, wakati foundation ni kwa rangi zote na bei ni 39,000
Kwa mahitaji tuwasiliane 0755 200023
Saturday, March 25, 2017
Neti / Vyandarua vya kuzuia mbu vipo
150,000
250,000
300,000
Vyandarua vya kisasa kwa ajili ya kuzuia mbu ili kujiepusha na malaria masika hii. Ni vya kuchimbia ukutani au kwenye dari. Bei ya fundi kusimika ni 30,000. Tupo mwenge mawasiliano kwa unayehitaji ni 0755 200023
Friday, March 24, 2017
Mopper imara mno na zenye dekio la ziada zipo
Huna haja ya kutenguka kiuno ili uweze kuishi mahali pasafi. Mopper hizi ni elfu 45 tu na zina dekio la ziada. Tupo savei na ukitaka kuletewa popote ulipo inawezekana. Mawasiliano kwa unayehitaji ni 0755 200023
Wednesday, March 22, 2017
Tuesday, March 21, 2017
UTUNZAJI WA NGOZI: Hivi unafahamu kuwa unaweza kutumia seti ya Novage hadi miezi mitano?
Seti ya Novage ni kwa ajili ya jinsia zote kuanzia umri wa miaka 40.
Umri unavyozidi kuongezeka ndivyo ngozi ya uso inavyozeeka ambapo nyama kuteremka na kumpa mtu muonekano wa kizee na uchovu. Kazi ya Novage Ultimate Lift ni kunyanyua hizo nyama zilizoanza kuteremeka na kuzirudisha katika position yake hivyo kuukimbia uzee.
Kwenye hii seti hiyo cream ya mchana imeongezewa SPF (sun protecting factor) hivyo kukukinga na uharibifu utokanao na mionzi ya jua.
Kama unahitaji bidhaa yoyote ya oriflame au fursa ya biashara wasiliana na mimi kwa namba 0755 200023.
Friday, March 17, 2017
UTUNZAJI WA NGOZI: Hii seti ni kwa ajili ya wanaume
Kwa wanaume wote hii seti inawahusu.
Ina 48hrs Anti Perspirant spray ambayo huzuia harufu mbaya na kukuweka freshi na safi kwa masaa 48 na bei yake ni 16,000.
Sabuni ya maji kusafishia mwili na nywele (Recharge Hair & Body Wash) bei yake ni 13,000.
Sabuni ya kipande kwa ajili ya kuogea (Original soap bar) bei ni 7,000
Mawasilaino kwa unayehitaji
ni 0755 200023
Thursday, March 16, 2017
Wednesday, March 15, 2017
PAFYUM: Possess kwa wanaume
Pafyum ya possess ni the best smelling perfume kwa wanaume. Bei ni 103,000.
Testers pia zipo kwa ajili ya kuamua kama unapenda harufu husika. Bei ya tester moja ni sh 2000.
Kwa unayehitaji tuwasiliane nakuletea hadi ulipo. Tupo Moroko 0755 200023
Testers pia zipo kwa ajili ya kuamua kama unapenda harufu husika. Bei ya tester moja ni sh 2000.
Kwa unayehitaji tuwasiliane nakuletea hadi ulipo. Tupo Moroko 0755 200023
UTUNZAJI WA NGOZI: Feminelle ni suluhisho kwa usafi wa sehemu za siri
Feminelle ni bidhaa ambayo inavuka kiwango kwa usafi wa sehemu za siri. Unapojisafisha kwa feminelle unakuwa fresh siku nzima, ukinukia vizuri na wakati huohuo ukijiepusha na maradhi kama UTI na miwasho ya aina mbalimbali.
Kwa mahitaji tuwasiliane 0755 200023
UTUNZAJI WA NGOZI: Kuondoa makunyanzi kwa wenye miaka 40 na kuendelea
Habari nzuri kwa wanawake na wanaume wenye umri kuanzia miaka 40 na kuendelea. Oriflame inawaletea bidhaa ambayo huondoa na kuzuia makunyanzi usoni, kung'arisha ngozi yako na kuifanya soft. Package nzima ni kwa shilingi 261,000 tu
Tuwasilaine 0755 200023
Monday, March 13, 2017
Michoro ya ukutani ya Kitanzania unayoweza kutumia kupendezesha nyumba
Huenda unataka kupendezesha kuta za nyumba yako kwa sanaa za
Kitanzania lakini inakupa changamoto kuwa sanaa hizo ni zipi. Labda umeshajenga
au kurekebisha nyumba vizuri ila hatua iliyobaki umalizie ni kupendezesha kuta
zake kwa sanaa.
Makala hii inakufungua fikra uone ni aina zipi unazoweza
kutumia. Kiukweli zipo mbalimbali na kwa wigo mpana. Nimeongea na dada Suma wa
Tanzania Cultural Heritage waliopo jengo la Quality Center na hapa amenyambua aina mbalimbali za michoro ya
ukutani ya Kitanzania kama ifuatavyo.
1.
Michoro ya tingatinga
Tingatinga ni aina ya michoro ambayo ilianzia maeneo ya
Oysterbay Dar es salaam kwenye karne ya 20 na baadaye ikasambaaa Afrika
Mashariki nzima. Jina Tingatinga limetokana na mwanzilishi wa michoro hii aliyekuwa
anaitwa Edward Saidi Tingatinga.
Michoro ya tingatinga haina uhalisia, kwa mfano mchoro wa
Friday, February 24, 2017
Pafyumu nzuri za kike na kiume za possess
Ya kime bei ni 103,000 na ya kike bei ni 112,000 kama ukinunua kupitia kwangu. Ukinunua kupitia kwako kama memba (gharama ya kuwa memba ni sh elfu 10) ya 103,000 utanunua kwa bei ya 79,200 na hiyo ya kike ya 112,000 utanunua kwa bei ya sh 86,200.
Zipo na nyingine nyingi za viwango kwa bei tofauti tofauti kama vile love portion, signature na kadhalika.
Mawasiliano kwa biashara ni 0755 200023. Karibu sana.
Hey friends hamjambo?
Hey friends, hamjambo? Samahanini kwa kupotea kwa muda ni computer ilikorofisha ila kwa sasa mambo yamekaa sawa. Asanteni kwa kuendelea kunitembelea hapa hata bila ya mimi kuwepo....penda sana nyie, tuendelee kuwa pamoja.
Subscribe to:
Posts (Atom)

















































