Mwanamuziki mkongwe Shaaban Dede amefariki dunia leo saa mbili asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu kwa takriban wiki mbili, mwanaye Hamad Dede amethibitisha.
Hamad Dede amesema mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Mbagala jijini Dar es Salaam, na kwamba ratiba na taratibu zote zitatangazwa mara zitakapokamilika kupangwa.
Nyota wa kipindi cha luninga cha maisha halisi cha kutoka Marekani cha Keeping up with the Kardashians amecharuka na kuanza kumtuhumu na kuposti picha na video za uchi za star mwingine ambaye ni Blac chyna na mama wa mtoto wao mmoja Dream, akiwa na wanaume wengine. Nyota huyo amedai kuwa si chini ya mwezi mmoja Blac Chyna alitembea na wanaume nane. Hali imekuwa taharuki mitandaoni kiasi kwamba uongozi wa instagram ukafikia uamuzi wa kufunga akaunti ya Rob. Mastaa wengine wa nchini humo ambao ni pamoja na Snoop dog na TI wameamua kuingilia kati na kumtaka Rob aache kuleta mambo binafasi instagram kwani kama aliamua kuoa malaya atulie aache kusumbua watu na kama ana hela sana aende akanunue mwingine.
Wakili Jerome Msemwa amejitoa kwenye kesi namba 213/2017 inayomkabili Raisi wa TFF, Jamal Malinzi na wenzake kwa kutopata maelekezo sahihi kutoka kwa wateja wake.
Mfanyabiashara maarufu Yusufu Manji amelazwa katika taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete Muhimbili na atasomewa mashtaka yake hapohapo. Yadaiwa tayari maafisa wa mahakama wameelekea hospitalini hapo kwa ajili ya kumsomea ndugu Yusufu Manji mashtaka yanayomkabili.
Suruali za kisasa za wanawake za kukamatia chini size zote rangi ya kijani jeshi, damu ya mzee na bluu zipo. Bei 28,000 Tupo Sinza Kamanyola Mawasiliano 0755200023
Mkoba/ Pochi / Handbag golden silver unatundika begani au unabeba mkononi. Best quality. Bei 45,000 Tupo Sinza Kamanyola Tunapelekea popote Ukitaka nikuongeze kwenye group la maingizo mapya nijulishe 0755200023
Kama mnavyoniunga mkono kwenye nguo na vitu vya nyumba ndivyo naomba mniunge mkono kwa bidhaa mpya ya baiskeli, magari na pikipiki za watoto umri wa mwaka mmoja hadi 7/8.
Mara nitakapomaliza kufungua kontena nitapost bidhaa na bei. Matoi haya yanachajiwa kwa kutumia umeme kisha yanatembea. Chaja iko kwenye kifurushi cha manunuzi. Endelea kufuatilia hapa.
Pia endapo utataka nikuunge kwenye group la maingizo mapya ya matoi mapambo na nguo tuwasiliane kwa hiyo namba hapo chini.
Blauzi nyeupe zenye vifungo mbele. Zinafaa kwa wanaofanya kazi kwenye ofisi zenye kanuni za mavazi kama vile taasisi za fedha na serikalini. Zipo size small hadi XXXL
Tupo Sinza Kamanyola na pia tunaweza kukulete ulipo.