Foronya za mito ya makochi zinasaidia kupendezesha sofa kwa kuongeza rangi, ziwe ni kwa rangi moja au tofauti zipo kwa size unayohitaji mteja wangu. Tuna michoro zaidi ya 40 ya vitambaa vya foronya na sofa ikiwemo velveti isiyopitisha maji. Kwa oda mawasiliano ni 0755200023. Tupo Sinza Kamanyola.
Pendants ni taa ambazo kikawaida zinawekwa kwenye kisiwa cha jiko. Kabla hujanunua chukua sample utest. Hili jiko likikamilika hakika litapendeza. Je, umependa ya kulia au kushoto?
Tunazo fimbo za pazia imara za double na singo Pia tunayo mapazia mazito na mepesi ya kila aina. Tuite tukufungie pazia. Vilevile tunafanya manunuzi binafsi na kukupelekea nyumbani au ofsini na pengine popote unapotaka kutuagiza. Mawasiliano 0755200023
Tuna repair sofa za zamani kwa vitambaa vizuri vya sofa na kuzifanya mpya tena. Mawasiliano 0755200023 Tupo Sinza barabara ya Shekilango Tutume tukutengenezee sofa nzuri.
Hivi una habari kwamba velveti isiyopitisha maji ndio kitambaa cha sofa kinachokufaa zaidi hasa wewe mwenye watoto wadogo nyumbani? Una makochi unayotaka kuyaboresha au labda unahitaji seti mpya ya makushen? Tuna mitindo zaidi ya 40 ya vitambaa vizuri vya sofa ikiwemo velveti original ambayo haipitishi maji. Kwa mahitaji mawasiliano ni 0755200023 Tupo Sinza Shekilango
Watu wengi wamekuwa wakipata wasiwasi kuwa kama chumbani kuna feni basi neti ya darini haifai. Sii kweli, tunakuwekea neti ya darini hata kama chumbani kuna feni kubwa ya darini. Mawasiliano 0755200023 Nitume hitaji lako la nyumbani au ofsini.
Kiti used cha kukalia mtoto mchanga hadi miezi kadhaa ili kumuweka karibu na ulipo kipo. Bei 130,000 Mawasiliano 0755200023. Kama una vitu vya nyumbani au ofsini ambavyo huvihitaji tena au pengine unahama mjia au nchi lakini bado viko kwenye ubora wake tafadhali nijulishe kupitia 0755200023. Tunauza vitu used.
Hivi unajua kuwa unaweza kutumia nusu ya gharama ya mchakato wa kujipatia hitaji lako la nyumbani au ofsini endapo tu utaamua kututuma sisi badala ya kwenda mwenyewe? Hebu fikiria rasilimali muda na pesa ambayo inapotea kwa wewe tu kwenda kununua hitaji lako mwenyewe ambapo ungeweza kumtuma mtu mwaminifu tu fasta akakununulia na kukuletea ulipo au kukupelekea nyumbani..vitu kama gesi ya kupikia, pampas na vingine vingi vya nyumbani. Tupo kukurahisishia maisha yako. 0755200023 Sinza Mugabe
Neti za kutobolea darini ndio za kisasa zaidi, ni free size na zinatosha kitanda hadi cha 8 kwa 8. Ni ndefu hadi sakafuni. Ni rahisi kutoa na kurudishia wakati unapohitaji kuifua. Asante mteja wangu wa madale. Kwa mahitaji tuwasiliane 0755200023
Used heavy duty/ commercial vacuum cleaner. Inafaa kutumika nyumbani au kwenye carwash. Vumbi na mchanga kwenye carpet, sofa na gari bai bai. Bei 450,000 Australian Standard 0755200023 Tupo Sinza Kamanyola
Kitambaa kikubwa ( urefu mita 2 na sentimita 20) cha meza ya pembe nne na napkins/mats zake 8 kipo kwa rangi 3. Tupo Sinza Kamanyola Mawasiliano 0755200023
Yako clear kama maji, niambie uko wapi nikuletee. Mawasiliano 0755200023 Unaweza -Kuyanywa -Kujipaka kwenye ngozi -Yana balance blood sugar -Yana balance cholestrol -Yanaongeza nguvu mwilini -Yanaua fungus -Yanapunguza makunyanzi -Yanapunguza kuungua na jua -Yanaondoa mba kwenye nywele -Yanakufanya uonekane wa umri mdogo kuliko ulio nao -Yanaongeza kinga mwilini -Yanaongeza mmeng'enyo wa chakula -Yanafaa kwa massage Bei 15,000 na 8,000
Mafuta ya nazi ya Africana ni extra virgin /nazi bikira kwa maana ya kwamba hayana chemicals kabisa hata preservatives. Yanatengenezwa hapa nchini. Hayajachemshwa ni cold pressed ni mazuri kwa kupaka watu wa rika zote kwenye ngozi na nywele na kupikia hasa kwa watu wenye cholesterol and kisukari maana ni cholesterol free. Pia kunywea kwenye vinywaji kama vile chai katika kupunguza unene bila kusahau kusukutua ili kuondoa maumivu ya fizi na meno na kuyafanya meupe. Kwa ujumla mafuta haya ni hakika kwelikweli na yana faida nyingi kwenye mwili wa binadamu..kama mnavyonijua sibahatishi! Makubwa mls 250 bei ni 15,000 Na madogo mls 120 bei ni 8,000 Tupo Sinza Kamanyola Mawasiliano 0755200023