Monday, November 16, 2015

BOMOA BOMOA NYUMBA ZA WANANCHI KURASNI LEO

Wananchi waishio kurasini shimo la udongo jijini Dar es Salaam walalamikia kubomolewa nyumba zao Mapema Leo na kuitaka serikali kuingilia kati suala hilo kwakuwa wanaona ni kama uonevu wanao fanyiwa.

No comments:

Post a Comment