Friday, November 27, 2015

HOME DECOR YA LEO.....JIKO

Nimeguswa na hili jiko jinsi ambavyo ni dogo, yani liko kama ki corridor tu lakini sehemu zote za msingi kwa maana ya counter, sink na makabati yapo. Haijalishi nyumba yako ni kubwa kiasi gani kinachojalisha ni mpangilio na usafi.

Je, unauza bidhaa au huduma inayohusu nyumba na bustani ambayo unataka Watanzania waijue? Nijulishe simu/whatsapp 0755200023

No comments:

Post a Comment