Saturday, November 12, 2016

Je, unajua aina ya ngozi yako?


Friends!
Aina ya ngozi inatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapo wenye ngozi ya mafuta, kavu, kavu zaidi, mchanganyiko au kawaida. Ni vyema unaponunua kipodozi cha kutumia usoni ujue kwanza aina ya ngozi yako ili uweze kupata matokeo sahihi unapotumia kipodozi kuendana na aina ya ngozi yako.

Tunapima aina za ngozi na kukushauri aina ya vipodozi sahihi kwako. Usikubali kuzeeka pasipo sababu, siku hizi inawezekana kabisa wa mika 45 na kuendelea akaonekana 
kama wa miaka 20.

Karibu Tupo Moroko Dar, tuwasiliane kwa simu 0712 61 34 18

No comments:

Post a Comment