Thursday, July 20, 2017

TUNAKULETEA ULIPO...Ulipo Tupo


Jana nimekuwa na deliveries 3. Naelewa ni kwa kiasi gani ulivyo busy na hizi foleni za jiji. Nunua chochote toka kwangu ninakuletea hadi kwenye kiti chako.
Mikoani popote ninakutumia.
Tupo Sinza Shekilango Kamanyola.
Mawasiliano 0755 200023

Wednesday, July 19, 2017

Suruali za kukamata mwili za kushika miguuni zipo




Suruali za jeans na za kukamata mwili mtindo wa taiti zipo size zote.
Jumla na rejareja.

Tupo Sinza Kamanyola
Bei 28,000 tu
Ukihitaji tukuletee ulipo tunakuletea. Mikoani tunatuma.
Usiporidhika unarudisha.
0755 200023

MAGARI BAISKELI NA PIKIPIKI ZA WATOTO



Nina sale kubwa sana inaendelea ndani ya mwezi mmoja ya baiskeli, magari, pikipiki na viti vya kulia watoto.

Baiskeli hadi 80,000
Pikipiki hadi 120,000
Magari hadi 150,000
Wahi haraka.
Tupo Sinza Kamanyola
Mawasiliano ni 0755200023

Thursday, July 13, 2017

Maua makavu ya kupamba ndani yanapendezesha sebule


Maua makavu ya kupamba ndani. Vesi kubwa za sakafuni au juu ya meza ya kwenye kona.

Bei 95,000
Tupo Sinza Kamanyola
0755 200023

Saa iliyobandikwa ukutani inavyopendeza


Pendezesha ukuta wa sebule yako kwa wallpaper na saa za ukutani.
Mrejesho toka kwa mteja aliyefurahia saa ya ukutani toka kwangu.
Tupo Sinza Kamanyola
0755 200023

Viatu vya kisigino kifupi

Viatu vya kisigino kifupi. Viko pea 2 tu. Bei 60,000
Tupo Sinza Kamanyola
Mawasiliano 0755 200023

Wednesday, July 12, 2017

Monday, July 10, 2017

Blauzi za ofsini pamoja na skafu yake

Bei 22,000. Ziko kwenye rangi tatu.
0755 200023

ZINAZOVUMA: Mbunge wa Sengerema William Ngeleja amerudisha hela za Escrow

Mbunge wa Sengerema William Ngeleja amerudisha shilingi milioni 40.4 hela za Escrow alizokuwa ameingiziwa na James Rugemalira katika akaunti yake kwa ajili ya kusaidia jimbo.

Ngeleja amesema ingawa alipewa fedha hizo kama sehemu ya msaada ameamua kurudisha fedha hizo ili kukwepa kashfa hiyo ya Escrow.

ZINAZOVUMA: Harusi ya Profesa Jay Joseph Haule Mbunge wa Mikumi



TANZIA: Mtangazaji Seth Katende Bikira wa Kisukuma amefariki

Mtangazaji maarufu wa redio ya EFM ndugu Seth Katende maarufu kama bikira wa kisukuma  amefariki dunia katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi. 

Seth atakumbukwa  kwa ucheshi wake kupitia kipindi cha ubaoni. Msiba uko nyumbani kwa baba yake mzazi Changanyikeni Dar es Salaam. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!

Sunday, July 9, 2017

Blauzi kubwa pana nzuri za ofisini za chiffon zipo




Blauzi kubwa pana nzuri za ofisini za chiffon zipo kwa rangi 5.
Tunauza jumla na rejareja.
Tupo Sinza Kamanyola
Mawasiliano 0755 200023
Bei 21,000 ukitaka tukuletee hadi kwenye kiti chako inawezekana.


Saturday, July 8, 2017

Suruali za jeans za kubana chini

Suruali za jeans chana za kubana chini zipo size zote, jumla na rejareja.
Bei 28,000
Tupo Sinza Kamanyola.
Tunapeleka popote.
Usiporidhika unarudisha
Mawasiliano 0755 200023

Friday, July 7, 2017

MAGAUNI MAFUPI MAPANA

Magauni mafupi mapana yapo. Yanafaa kwa wanawake wote hata wajawazito.
Tupo Sinza Kamanyola
Tunapelekea popote na usiporidhika unarudisha.
Bei 30,000
Mawasiliano 0755 200023

Sketi nzuri zipo size zote



Sketi nzuri zipo size zote. 
Tupo Sinza Kamanyola
Tunakupelekea popote ulipo.
Mawasiliano 0755 200023

Raba Nyeupe za Nike na Adidas Original


ingizo jipya
raba za Nike na Adidas
made in Vietnam (kumbuka viwanda vya nike na adidas ndipo viliko)

Adidas bei ni 55,000
Nike bei ni 70,000
tupo wazi hadi saa 2 usiku⁠⁠⁠⁠
Mawasiliano 0755 200023

Thursday, July 6, 2017

Tumeanza kushona mapazia

Hello wapenzi,
Tumenza kushona mapazia. 
Bei ya pazia moja ni elfu 30
Tupo Sinza Kamanyola
Mawasiliano 0755 200023

TANZIA:....Mwanamuziki mkongwe Shaaban Dede amefariki dunia

Mwanamuziki mkongwe Shaaban Dede amefariki dunia leo saa mbili asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu kwa takriban wiki mbili, mwanaye Hamad Dede amethibitisha.

Hamad Dede amesema mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Mbagala jijini Dar es Salaam, na kwamba ratiba na taratibu zote zitatangazwa mara zitakapokamilika kupangwa.

HANDBAG POCHI NZURI NA ZA KISASA




Pochi nzuri na za kisasa bei 40,000 kwa 45,000
Tupo Sinza Kamanyola.
Tunaweza kukuletea hadi kwenye kiti chako.
Usiporidhika unarudisha.

Mawasiliano 0755 200023


ZILIZOVUMA:...Rob Kardashian acharuka.....aposti picha za uchi za Blac Chyna


Nyota wa kipindi cha luninga cha maisha halisi cha kutoka Marekani cha Keeping up with the Kardashians amecharuka na kuanza kumtuhumu na kuposti picha na video za uchi za star mwingine ambaye ni Blac chyna na mama wa mtoto wao mmoja Dream, akiwa na wanaume wengine.

Nyota huyo amedai kuwa si chini ya mwezi mmoja Blac Chyna alitembea na wanaume nane. Hali imekuwa taharuki mitandaoni kiasi kwamba uongozi wa instagram ukafikia uamuzi wa kufunga akaunti ya Rob.

Mastaa wengine wa nchini humo ambao ni pamoja na Snoop dog na TI wameamua kuingilia kati na kumtaka Rob aache kuleta mambo binafasi instagram kwani kama aliamua kuoa malaya atulie aache kusumbua watu na kama ana hela sana aende akanunue mwingine.

Wednesday, July 5, 2017

ZINAZOVUMA: Wakili amejitoa kesi inayomkabili Raisi wa TFF

Wakili Jerome Msemwa amejitoa kwenye kesi namba 213/2017 inayomkabili Raisi wa TFF, Jamal Malinzi na wenzake kwa kutopata maelekezo sahihi kutoka kwa wateja wake.

ZINAZOVUMA:....Yusuf Manji kusomewa mashtaka yake wodini


Mfanyabiashara maarufu Yusufu Manji amelazwa katika taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete Muhimbili na atasomewa mashtaka yake hapohapo.

Yadaiwa tayari maafisa wa mahakama wameelekea hospitalini hapo kwa ajili ya kumsomea ndugu Yusufu Manji mashtaka yanayomkabili.

Suruali za kisasa za wanawake


Suruali za kisasa za wanawake za kukamatia chini size zote rangi ya kijani jeshi, damu ya mzee na bluu zipo.
Bei 28,000
Tupo Sinza Kamanyola
Mawasiliano 0755200023

Suruali za Jeans zipo bei 28,000

Suruali za jeans za wanawake wa size zote zipo. Wembamba kwa wanene.
Tupo Sinza Kamanyola
Tunakuletea popote na usiporidhika unarudisha
Bei 28,000
Mawasiliano 0755 200023

Tuesday, July 4, 2017

Pochi mkoba handbag


Mkoba/ Pochi / Handbag golden silver unatundika begani au unabeba mkononi.
Best quality.
Bei 45,000
Tupo Sinza Kamanyola
Tunapelekea popote
Ukitaka nikuongeze kwenye group la maingizo mapya nijulishe 0755200023

Monday, July 3, 2017

Wallpaper zipo




Mzigo mpya wa wallpaper umeingia.

Roll 45,000
Gundi 10,000
Tupo Sinza Kamanyola.

Mawasiliano 0755 200023

Viatu vyeupe vipo


Viatu vyeupe vipo vinafaa sana kwa shughuli ya harusi.
Bei ni 45
Size zote za wakubwa zipo.

Tunakutumia popote
Tupo Sinza Kamanyola
Mawasiliano 0755 200023