Monday, February 3, 2014

wakati ni ukuta...du! du!

basi asubuhi hii nilikuwa naperuzi picha nikakutana na hii ya muongo mmoja uliopita niliyopiga asubuhi ya graduation yangu katika mishemishe za kutafuta sehemu ninayotakiwa kukaa kule engineering enzi hizo. basi nilitinga hicho kimtoto cha joho wacha watu washangae kudhania kuwa ni kitambaa kimeshonewa kwenye hicho kisweta..kumbe walaa ni mbwembwe tu......furahia jumatatu yako usikubali iwe bluu na wala usiruhusu mtu asikuibie furaha yako

No comments:

Post a Comment