Tuesday, July 1, 2014

usiruhusu magugu kushamiri yaharibu bustani yako...

ukiona kote kijani kwa undani magugu yamejificha

muhimu kuyang'olea kwani yakishamiri yataharibu bustani

unaona kama hiyo ndago hapo kati ilivyotulia

magugu yote kwenye ndoo kwa ajili ya kutupiliwa mbali

gugu majani yake ni mapana zaidi

majani bila gugu

No comments:

Post a Comment