Thursday, November 7, 2013

morningwood

marafiki zangu wa ukweli asubuhi hii kijua kikiwachoma choma. yani huwa hawa watoto wakiwa mahali halafu mtu akauliza ni wa nani akijibiwa ni wa vivi huwa najisikia raha mno.furaha ya maisha yangu iko kwa hawa watu wangu wadogo

1 comment: