Wednesday, December 25, 2013

Jinsi nilivyosheherekea Christmas yangu leo

helo wadau wangu, namshukuru Mungu siku ya leo ya Christmas mimi na familia yangu tumeweza kwenda kanisani na pia binafsi nimeweza kutembelea mahali nilipozaliwa. wewe je ulishereheka vipi?
 watu wangu wadogo wakiwa wameshaulamba kwa ajili ya kwenda kanisani

 familia
 this is where your auntie was born. nyumba hii ina miaka zaidi ya 40
nikaenda upande wa pili kutembelea shule aliyoanzisha mama yangu 
baada ya mama kwenda mbinguni 2010 dada yangu mkubwa ameendeleza sana shule. yale kule juu ni madarasa. kutokana na landscape ya eneo hili utafurahia ubunifu wa bustani zake.
 utapenda bustani, huwezi amini wanafunzi wanapita pita humu
 maua ya aina mbalimbali
 hall na vyumba vya hostel ya wasichana
front view

No comments:

Post a Comment