Saturday, December 7, 2013

picha mbili tatu za msiba wa Mandela

 waombolezaji wakiwa nyumbani alikofia Mandela. kuna dada hapo kati huyo anayekutazama, anafanana na mimi..na vinywele vyake hivyo hivyo kama vyangu
Mandela enzi za uhai wake akiwa na mke wa ujana wake

No comments:

Post a Comment