Tuesday, December 31, 2013

kama wewe ni uzao wa dot com hujatumia hii

ni nyumba chache za waTZ walioko TZ unaweza kukuta zina chumba cha kufulia. nafikiria kuandika makala ili kuzitia moyo familia changa zijenge makazi yenye chumba cha kufulia. usikose kutembelea hapa mara kwa mara ili ujue zaidi juu ya muonekano wa chumba hicho.

No comments:

Post a Comment