Wednesday, December 11, 2013

picha za kumbukumbu ya kusherehekea maisha ya Mandela hapo jana

 watu waliokuwa wamefurika FNB Stadium Soweto kwa sherehe rasmi za kumbukumbu ya maisha ya Madiba hapo jana

 Rais wa Marekani Barack Obama akisalimiana na Rais wa Cuba Raul Castro
 bahari ya miavuli ya wahudhuriaji kutokana na mvua iliyokuwa ikinyesha


 Obama akitoa speech

wanandoa waliochukua taulo na kwenda kufuta picha ya Madiba iliyowekwa katikati ya uwanja kabla huduma ya kumbukumbu haijaanza

picha kwa hisani ya Tsvangirayi Mukwazhi

No comments:

Post a Comment