Tuesday, December 31, 2013

siku miss opportunity yoyote..

nikiwa likizo yangu ya krismasi nilihakikisha natumia kila fursa iliyojitokeza na sikutaka kumiss mwaliko wowote. hapa ni picha za mishe mishe za hapa na pale
asubuhi mimi na rafiki zangu wakweli tukienda kupiga misele ya hapa na pale. wengi wameniambia nimenenepa

 watu wangu wadogo wanaanza safari
 mchana tukaulamba kuelekea harusini

 bibi na wajukuu
 harusi ilifungwa na askofu mstaafu. mtu wangu mdogo alipata bahati ya kushikana mikono na askofu
makala yangu ya maanadalizi ya eneo la bustani inakofungwa harusi hapa inahusu. nyasi zilitakiwa kukatwa wiki mbili kabla ya harusi
maharusi walipendeza sana na kitu kilichonishangaza ni namna wanavyofanana sura

No comments:

Post a Comment