Thursday, December 5, 2013

xmas ya mwaka huu imechangamka mapema...

kwa mtizamo wangu sikukuu imeshaanza kupamba moto. watu wangu wadogo nao haoooo wameshaondoka zao kula sikukuu. nyumba imepooza mno kukosa fujo zao za hapa na pale..


No comments:

Post a Comment