Tuesday, February 23, 2016

BONDIA MANNY PAQUIAO AWAJENGEA NYUMBA 1000 WASIOJIWEZA


Bondi wa Kifilipino wa Uzito wa juu Duniani, Manny Paquiao, amemaliza awamu ya kwanza ya ujenzi wa nyumba za kisasa kwa watu wasiojiweza katika eneo alilokulia liitwalo Sarangani.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Paquiao ameandika kuwa tayari amefanikiwa kumaliza nyumba kwa ajili ya maelfu ya familia katika mpango huo kwa awamu ya kwanza.

“I’m so happy giving this houses free to my constituents in Sarangani Province from my own pocket more than thousand families are the beneficiaries. and i’m still building more because i always believe what the bible says; 1 Peter 4:8-10 NIV
[8] Above all, love each other deeply, because love covers over a multitude of sins. [9] Offer hospitality to one another without grumbling. [10] Each of you should use whatever gift you have received to serve others, as faithful stewards of God’s grace in its various forms. Thank you Lord for everything even some people are criticizing me but I’m still happy because you live in me.” Ameandika.


Wiki iliyopita kampuni ya mavazi ya kimichezo ya Nike, ilisitisha mkataba wa udhamini na bondia huyu baada ya kuwafananisha wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja na wanyama.

ni follow ig @vivimachangehomes

No comments:

Post a Comment