Thursday, February 26, 2015

Hongereni Kevin & Elizabeth kwa kutimiza miaka minne ya ndoa

Kevin ni mshindi wa BBA toka Nigeria ambaye alimuoa mshiriki mwenzie Elizabeth toka Tanzania ambapo walikutana mjengoni 2009 na wakaoana 2011, wana watoto wawili pamoja wa  kike na wa kiume. Hongereni big time.

No comments:

Post a Comment