Friday, February 27, 2015

PICHA: Ajali iliyoua watatu Mikese barabara kuu ya Morogoro-Dar

Askari wa Kikosi cha Zimamoto, wakizima moto baada ya lori la mafuta kupinduka kisha kuwaka moto na kusababisha watu watatu kufariki dunia eneo la Wedi, Kijiji cha Maseyu, Tarafa ya Mikese katika Barabara Kuu ya Morogoro-Dar es Salaam jana. Picha na Juma Mtanda, Mwananchi

No comments:

Post a Comment