Monday, August 22, 2016

Je unapenda nywele zako?


-Je, nywele zimekua zikiwasha na kuanza kujikuna kila wakati hasa wakati wa joto?

-Je, nywele zako zimekua zikikatika katika na kuachia kila wakati unapozichana?

-Je, ukoko wa nywele au Mbaa wamekua wakikukosesha raha na kuwa kero ya muda mrefu sasa?

-Je, ulishawai kuambiwa na kinyozi kwamba una Mbaa wengi na ungependa kuondokana na hiyo hali?

Karibu utumie Aloe Jojoba Shampoo pamoja na Aloe Jojoba Conditioning Rinse. Bidhaa ambazo zitasaidia watu wenye changamoto
 ya Mbaa, nywele kuwasha pamoja na nywele kukatika. Ni bidhaa ambazo zitafanya nywele zako ziwe laini na afya nzuri.

Pia itazifanya ziwe na mng'ao mzuri wenye kuvutia. 

ziwe na mng'ao mzuri zenye kuvutia. Pia itazifanya ziwe laini na afya nzuri. Kwa mawasiliano zaidi. 

Zinafaa kutumika kwa watu wenye nywele zote, zenye dawa, zisizo na dawa.

Ni kwa watu wote,  wanaume na wanawake 

Kujua bei na jinsi ya kupata sms au njoo whatsapp 
0713282039

No comments:

Post a Comment