Sunday, January 24, 2016

PICHA: Bodaboda wa mkoa wa Dodoma wamsalimia Lowassa NYUMBANI kwake baada ya kumuona akitoka kanisani leo.


Huwa nafurahia matukio kama haya kwa ajili yanatupa fursa ya kuona nyumbani kwa viongozi na watu maarufu.


No comments:

Post a Comment