Sunday, March 29, 2015

Picha: MSIBANI KWA ABDUL BONGE

Waombolezaji wakiwa msibani kwa ALIYEWAHI kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge, amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment