Muuguzi mmoja wa zahanati ya Muungano, Chamwino, mkoani Dodoma, amekumbwa na kashfa nzito baada ya kudaiwa kumchapa viboko mama mjamzito,
wakati akiwa katika hali ya uchungu wa kujifungua na kusababisha mtoto
aliyetaka kujifungua kufariki akiwa tumboni.
Aidha, mama huyo ambaye kwa sasa amelazwa katika chumba
cha uangalizi maalumu (ICU)







































