Saturday, April 25, 2015

Muuguzi huko Dodoma amchapa bakora mjamzito aliyeko kwenye uchungu....Mtoto amefia tumboni

Muuguzi mmoja wa zahanati ya Muungano, Chamwino, mkoani Dodoma, amekumbwa na kashfa nzito baada ya kudaiwa kumchapa viboko mama mjamzito, wakati akiwa katika hali ya uchungu wa kujifungua na kusababisha mtoto aliyetaka kujifungua kufariki akiwa tumboni.

Aidha, mama huyo ambaye kwa sasa amelazwa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU)

KUTOKA KWA MACELEB:.......HATIMAYE! Bruce Jenner akiri "I AM A WOMAN"

Bruce alipokuwa anakiri kwenye TV kuwa yeye ni mwanamke hapo jana

Akimuonyesha mtangazaji nguo zake za kike

Enzi hizo alipokuwa mwanaume akiwa na aliyekuwa mkewe
Binafsi kama blogger ninayetafuta habari na kuwapasha wasomaji wangu nimesikitika uamuzi wa huyu baba kujigeuza kuwa mwanamke jamani..hafit popote kama shoga wala msagaji yani yuko ulimwengu wa peke yake..hivi wewe ungejisikiaje baba yako anajigeuza mwanamke..
Bruce Jenner has come out as transgender, Friday night on ABC News’ “20/20″ interview with Diane Sawyer.

After much speculation, the former Olympian who was previously married to Kardashian matriarch Kris Jenner confirmed, “I am a woman.”

Friday, April 24, 2015

Je, michezo huharibu ubikira wa wasichana?

Nami nilivyokuwa nakua nilisikia hivyohivyo..wewe je ulishawahi sikia?
Mwalimu mkuu wa shule moja ya kiislamu mjini Melbourne, Australia amedaiwa kuwazuia wasichana katika shule hiyo kutoshiriki katika maswala ya michezo kwa hofu kwamba huenda wakapoteza ubikira.

Christina Shusho Anawania Tuzo za Groove Kenya

Msanii wa muziki wa injili kutoka hapa Tanzania, Christina Shusho ameingia katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo kubwa kabisa za muziki wa Injili Afrika Mashariki kwa mwaka 2015, Groove Awards ambazo huendeshwa huko Kenya.

Shamsa Ford anataka ujue kwamba anaelekea Burundi kwa ajili ya....

shamsafordHallow my people.niko Air port kuelekea nchini BURUNDI kwa ajili ya kufanya movie itayowashilikisha wasanii tofauti from RWANDA,BURUNDI,UGANDA NA MM KUTOKA TANZANIA..Namshukuru Mungu kupata nafasi hii.NAWAHAIDI KUFANYA VIZURI NA KUIWAKILISHA NCHI YANGU VYEMA..NIOMBEENI NIFIKE SALAMA NA KURUDI SALAMA..I LOVE U ALL..

Ujue Ugonjwa wa Macho Mekundu Ambao Unatikisa Dar kwa Sasa

Ugonjwa wa macho mekundu maarufu kama Nairobi Red Eyes umeibuka katika maeneo mbalimbali ya jiji na kuleta usumbufu mkubwa kwa wakazi wengi na kusababisha kushindwa kwa muda kufanya shughuli zao muhimu.

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana Ilala, Dk Meshack Shimwela alisema, ugonjwa huo hauna dawa na wengi

Johari amesema hakuwahi kuwa mpenzi wa Ray....Awali aliwahi kukiri uhusiano

MMILIKI wa kampuni ya filamu nchini ya ‘RJ Company’, Blandina Chagula ‘Johari’, ameibuka na kushangaza wengi kwa kauli yake kwamba hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji mwenzake, Vicent Kigosi ‘Ray’.

Askofu Pengo anasumbuliwa na maradhi ya uti wa mgongo...Pia amewataka Watanzania kumchagua raisi fukara kuliko anayetafuta nafasi hiyo kwa rushwa

HATIMAYE Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewatoa hofu Watanzania kuhusu afya yake kwa kueleza kuwa anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa uchunguzi wa matatizo yake ya uti wa mgongo.

Kardinali Pengo pia amegusia nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwataka watanzania kumchagua rais fukara kuliko anayetafuta nafasi hiyo kwa rushwa.

Alitoa kauli hiyo

Msafara wa Chenge wadaiwa kufurumusha risasi CHADEMA

Wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiongozwa na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, wanadaiwa waliingia ‘anga’ za ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Bariadi na kusababisha taharuki kubwa, baada ya

JAMANI HIKI KICHWA CHA HABARI KIMENISTUA...KWA HELA YOTE WALIYONAYO WAKARUKE NA ECONOMY KWELI??....Mmmh...KUMBE HATA MATAJIRI WANAPENDA KU SAVE...Kanye West and Kim Kardashian were spotted slumbering in their seats as they flew economy class to Armenia


They've got an estimated joint net worth of $155million.
But even the rich and famous need to save a little cash at times, and it transpires Kim Kardashian and Kanye West did just that by flying economy to Armenia earlier this month.

The superstars were spotted slumbering in their cramped and uncomfortable seats, a far cry from the usual champagne reception and VIP treatment they're accustomed to in first class.


Read more: http://www.dailymail.co.uk/tvshowbiz/article-3052606/Kanye-West-Kim-Kardashian-flew-economy-class-Armenia.html#ixzz3YCkipoVo

Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook

Huyu interior designer anasema wengi wanakumbuka kupamba kuta nne za sebule na kusahau ukuta wa tano ambao ni dari..

Mimi nadhani ningeopt kupamba dari kwa taa kuliko kulipaka rangi tofauti na kuta..wewe je?
You spend hours over the perfect stain color for your hardwood floors and the exact right shade to paint your walls. But be honest: How much time did you spend thinking about color of your ceiling?

Aliyekuwa Mshindi wa Miss Tanzania Kabla ya Kuvuliwa Taji Malkia Sitti Mtemvu Kuzindua Kitabu, TV Talk Show na Foundation Tarehe 2 May 2015


ALIYEKUWA MSHINDI WA TAJI LA MISS TANZANIA MWAKA 2014-2015 KABLA YA KULIVUA TAJI HILO MALKIA SITTI ABAS MTEMVU, SITTI AMBAYE TAREHE 02/05/2015 ANATARAJIA KUZINDUA KITABU CHAKE CHA CHOZI LA SITTI, TV TALK SHOW, PAMOJA NA FOUNDATION YAKE INAYOJULIKANA KWA JINA LA SITTI FOUNDATION AMBAYO MPAKA SASA IMESHAFIKA ZAIDI YA MIKOA 10 HAPA NCHINI HUKU LENGO LA KUFUNGUA FOUNDATION HIYO NI KUWEZA KUSAIDIA WATOTO WANAOISHI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU PAMOJA NA WALEMAVU, PIA ANAMPANGO WA KWENDA KUKITANGAZA KITABU HICHO KIMATAIFA NA AMEPANGA KUANZIA NA NCHI YA IVORY COST
officialjestinageorgeblog

Thursday, April 23, 2015

Mengi kutoa Milioni 50 kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa waliowaua wafanyakazi wa kampuni ya Bonite Bottlers Moshi.

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dakta REGINALD MENGI ametangaza zawadi ya Shilingi Milioni 50  atakayetoa taarifa itakayowezesha kukamatwa,kushitakiwa,watu waliowaua wafanyakazi wawili wa

Kijana amuua mama yake kwa kumchinja Singida..... Halafu akaenda kutoa taarifa kwa mama yake mkubwa na mwenyekiti wa kijiji.....Kutokana na tukio hili wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ndugu wenye matatizo ya akili

Jeshi la polisi mkoani Singida, linamshikilia kijana Jumanne Yusuph miaka thelasini na tatu mkazi wa kijiji cha mtamaa‘a’,katika manispaa ya singida,kwa tuhuma ya kuhusika na mauaji ya mama yake mzazi.

Kamanda wa  polisi mkoani Singida, Thobias Sedoyeka,

Majambazi Yavamia Kanisa na Kuiba Chombo cha Kuhifadhia Ekaristi Wakidhani Kimetengenezwa kwa Dhahabu

WATU watano wamevamia na kuvunja madirisha ya Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph, Parokia ya Malolo na kuiba chombo kinachotumika kuhifadhia ekaristi takatifu (TABERNACULO).

Majina maarufu....Stori ya mtoto wa shule anayeitwa Beyonce.....Je, wewe kama mzazi/mlezi unazingatia nini kabla hujampa mtoto jina?

Account ya huyu binti huko facebook inaitwa Humans of New York na ameweka hili dukuduku lake kutokana na kuitwa jina famous. Hadi sasa hii post yake ila likes zaidi ya laki 3 na comments kuliko mchanga wa bahari kila mmoja akisema lwake. Kama vip nenda kasome..

She says:
“Sometimes I hate my name because it always draws attention to me, and I’m not a very social person. My family moved this year from Pennsylvania. I was so scared the first day of school that someone would notice me. I wouldn’t even adjust my seat because I thought it would make a noise. One time I really had to cough, but I held it in. When the teacher started calling attendance, I got really nervous, because every time people learn my name is BeyoncΓ©, somebody starts singing ‘Single Ladies.’ And some did, of course. But the second day of school wasn’t too bad. Because everyone knew my name.”



Jinsi ya kupamba ndani ya nyumba kama unaishi na watoto wa umri mdogo


Kwa sababu tu una watoto wadogo nyumbani haimaanishi utashindwa kuiweka nyumba yako kwenye muonekano nadhifu na wa kuvutia. Nimeongea na mbunifu wa ndani Bi Aisha Omari ambapo atatujuza jinsi ya kupamba nyumba yako na wakati huohuo ukiwa na watoto wadogo ndani.
Karibu Aisha!

“Ukiwa unaishi na watoto wadogo kuna vitu vinaweza kukuvunja moyo kama vile unarudi na kukuta meza yako ya kioo imevunjwa,

PICHA: Mwanaume Tajiri KULIKO WOTE Afrika, Aliko Dangote Akikagua Sehemu Atakayojenga Bandari Yake Mtwara



KARIBU NYUMBANI PESA!
Falling stock prices and a recent valuation of the Naira might have dented his fortune, causing him to lose roughly $10 billion since last year, but Aliko Dangote is still the richest man in Africa. Hii ni kutoka Forbes 2015

Mfanyabiashara maarufu Afrika, ambaye ni Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko Dangote akinyoosha mkono kuangalia eneo la

Kwa nyie wote mnaopenda kazi sanaa kupamba nyumba zenu hii inawakuhusu.....Maonyesho ya siku sita ya kazi za sanaa ukumbi wa Nkurumah UDSM



Six-day Art Exhibition at the University of Dar es salaam: A STEP FORWARD IN ARTS WORKS
The six-days Art Exhibition opened officially at the University of Dar es Salaam was described as “professional advancement” with an important role in the field of art.  

The Vice Chancellor of the University Prof. Rwekeza S. Mukandala observed these remarks when performing the opening ceremony of the exhibition where not less than 134 art works were displayed in the Nkurumah Hall of the University. 

Wednesday, April 22, 2015

WATU 10 WAMEFARIKI KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA BASI LA UNIQUE NA LORI LA COCACOLA MKOANI SHINYANGA

Watu kumi wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea katika kijiji cha ibingo kata ya Samuye mkoani shinyanga ajali iliyohusisha basi la UNIQUE lenye namba T148BKK na LORY la kampuni ya COCA COLA lenya namba za usajili T207BSA liliokua linakokota tela namba T655AJT.

Mwanaume mmoja huko Marekani akasirishwa na kompyuta yake na kuifyatulia risasi mara 8

Mwamamme mmoja kwenye mji wa Colorado nchini Marekani huenda akachukuliwa hatua za kisheria kufuatia kisa ambapo alikasirishwa na kompyuta yake kisha akaitoa nje na kuifyatulia risasi mara nane.

KUHUSU MAGAIDI, MUFTI ATOA AGIZO KALI

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Bin Shaaban Simba, amevitaka vyombo vya dola kufuatilia kwa makini baadhi ya misikiti inayodaiwa kutumiwa na baadhi ya waumini wake kufanya mazoezi nyakati za usiku.

 Akizungumza na JAMHURI katika mahojiano maalum yaliyofanyika hivi karibuni, Mufti alionesha kushangazwa baada ya kusikia kuwa kuna baadhi ya misikiti nchini imekuwa ikitumika kufanyia mazoezi usiku baada ya ibada.

KAIMU MKURUGENZI MKUU WA USIMAMIZI WA BANDARI, MADENI KIPANDE ANG'OLEWA RASMI....NI KUTOKANA NA MAHUSIANO MABAYA NA UAMUZI WA PAPARA

Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, Madeni Kipande, ameng’olewa rasmi katika wadhifa huo baada ya uchunguzi wa Serikali kubaini kuwa hana sifa za kuongoza Bandari.

Kwa mujibu wa Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, Kipande amekuwa na mahusiano mabaya kazini, ana uamuzi wa papara na amefifisha uhusiano kati ya Bandari na wateja.

HUZUNI! Walimu watatu wamchapa mwanafunzi akaanguka na kufa papo hapo darasani....Alifeli mtihani wa kiswahili..

Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Matui, amefariki dunia darasani baada ya kudaiwa kuchapwa viboko na walimu watatu wa shule hiyo, kwa kile kilichodaiwa kufeli mtihani wa Kiswahili.

Polisi wilayani na mkoani Manyara,

Kafulila Apandishwa Kizimbani kwa Shtaka la Kumuita Mkuu wa Wilaya Kiumbe Dhaifu

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kigoma kujibu shtaka la kutumia lugha ya matusi dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Hadija Nyembo.
 
Kafulila alifikishwa mahakamani

Rihanna...is that you? Na nywele nyeupe


 Rihanna kwenye photoshoot ya jarida la V ambalo litatoka May 7. Kwa picha zaidi

Msaidizi wa Gwajima amepandishwa kortini kwa shtaka la kukutwa na bastola isiyo yake....Ambayo ni ya Askofu Gwajima

MSAIDIZI wa Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, George Mzava, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Mzava (43), mfanyabiashara na mkazi wa Ilala, Dar es Salaam, alifikishwa  mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka ya kukutwa na bastola ya kiongozi huyo na risasi kinyume cha sheria.

ULIMWENGU WA MACELEB: Baba wa kambo wa kina Kim K, Bruce Jenner ambaye anataka kujigeuza mwanamke aonekana akiwa amevaa sidiria na pia gauni..Kama ni kweli basi hii familia ni funga kazi.. aisee...du!


‘Belinda' A.K.A. Bruce Jenner's Bike Ride Photo Shows Him Wearing A 'Sports Bra,’ Also Spotted Wearing A Dress.

It’s no secret that Bruce Jenner has set his mind into becoming a woman.

PICHA: Watuhumiwa wa ujambazi waliompora mzungu Kinondoni jana


Watuhumiwa wa ujambazi wakiwa wamewekwa chini ya ulinzi baada ya kutiwa mbaroni kwenye taa za kuongozea magari zilizopo Red Cross jijini dar es Salaam jana wakidaiwa kumvamia na kumpora raia wa kigeni eneo la kinondoni.

VAZI LA TAIFA LITAKALOWATAMBULISHA WATANZANIA POPOTE PALE WALIPO DUNIANI LITATANGAZWA HIVI KARIBUNI

Serikali  imesema wakati wowote kuanzia sasa itatangaza vazi la Taifa litakalowatambulisha Watanzania mahali popote walipo duniani.

Akizungumza na

MAJAMBAZI YAPORA MAMILIONI YA SHILINGI KUTOKA GARI LILILOKUWA KWENYE MAKUSANYO YA FEDHA ZA MAUZO BONITE NA KUUA WAFANYAKAZI

Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamewaua kwa kuwapiga risasi wafanyakazi wawili wa kiwanda cha vinywaji baridi jamii ya Coca Cola cha Bonite Bottles cha mjini Moshi na kupora mamilioni ya fedha.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alithibitisha

PICHA: Feni iliyounganika na taa

Ukifunga feni iliyounganika na taa unakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja. Feni kama hii inafaa sana varandani...unakaa umewasha feniyako na taa hapohapo huu feni ikikufukuzia mbu..

PICHA: Hivi viatu vya Angela..


Hii picha mwanadada Angela imezua gumzo huko mitandaoni wengi wakivitamani hivi viatu..Wewe je utasikia raha kutinga viatu kama hivi?

Watanzania waliokuwa wakiishi Yemen wakarejea nchini kutokana na machafuko ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo waelezea mateso yao

SERIKALI imefanikisha kurejea nchini kwa kundi la pili la Watanzania 14 wanaoishi Yemen, ambako kuna machafuko ya vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Watu hao wameelezea jinsi walivyoteseka

Tuesday, April 21, 2015

Malkia katimiza miaka 89 leo.....Imemfanya kuwa malkia mzee zaidi duniani..

Queen Elizabeth II celebrates 89th birthday

Queen Elizabeth II has celebrated her 89th birthday, making her the oldest monarch in the world. The head of the British monarchy planned to spend the day with family, with official celebrations taking place in June.
DW World

Kutana na mdada Rhiannon aliyesafiri toka Australia hadi Thailand kwenda kurekebisha pua.....Na anawashirikisha wafuasi wake wa mitandao ya kijamii mchakato mzima ....Ameamua kurekebisha pua kwa kuwa anaamini haiendani na uso wake


Kuna watu wana courage na miili yao jamani.yani wanaichezea wanavyopenda utadhania ikiharibika kuna mingine..hivi hiyo pua ikitoka imepinda sijui atafanyaje.
A cosmetic surgery patient is taking social media followers on a 'journey' through her nose job operation with a series of candid snaps.

Rhiannon Langley, 24, has regular updates of the procedure on Twitter, Instagram.

Kutokana na vurugu zinazoendelea Afrika Kusini, Watanzania 23 wamenusurika kuuawa kwa kujificha supermarket

SERIKALI imesema Watanzania 23 wamenusurika kuuawa katika ghasia zinazoendelea nchini Afrika Kusini baada ya kujificha kwenye duka kubwa (Supermarket).

UDSM Chashika Nafasi ya 10 kati ya Vyuo Vikuu 50 Bora na Maarufu Barani Afrika.......Cha Kwanza ni Capetown Kikifuatiwa na Pretoria

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimeshika nafasi ya kumi miongoni mwa vyuo vikuu 50 bora na vyenye umaarufu Afrika.

Kadhalika UDSM kimetajwa kuwa miongoni mwa

HUZUNI.....MWANAFUNZI WA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI PUGU, FESTO FILBERT AKUTWA AMEJINYONGA CHUMBANI KWAKE.....HAKUACHA UJUMBE WOWOTE

MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.

ULIMWENGU WA MACELEB: Beyonce amevaa saa ya kampuni ya Apple YENYE MKANDA WA DHAHABU ambayo haionekani popote kwenye bidhaa za kampuni hiyo..

Nowhere on Apple's website will you find a solid gold link bracelet for the Apple Watch. Jony Ive never mentions it at any point in this video describing the gold watch's creation. But in a set of photos posted to her website, BeyoncΓ© just proved it exists.