Pages
Blog
Mawasiliano
Friday, February 20, 2015
PICHA: Ajali ya basi la Kidia
Basi la Kidia lenye namba za usajili T 663 AXL, lililokuwa likitoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza, likiwa limepinduka katika eneo la Vikonje, nje kidogo ya manispaa ya Dodoma jana na kusababisha vifo vya watu wawili na majeruhi 45.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment