Saturday, January 31, 2015

FROM ME: Kama bado, ni wakati wa kufikiria kuwa na meza za marble

Jiwe la marble limekuwa likitumika kama malighafi ya ujenzi na kwenye sakafu, lakini pia linaanza kushika kasi kuwa sehemu ya juu ya meza. Watanzania wengi wamekuwa wakitumia jiwe la marble zaidi kwa kaunta za jikoni. Linafaa kwa kila aina ya meza unayoweza kufikiria.


Ni fenicha ya kipekee ambayo kila mmoja atapenda kuwa nayo. Kama unafikiria kununua dining table ya marble fahamu kuwa jie hili lina uzuri wa asili. Huwezi kumcha kumfurahisha mgeni yeyote kwa meza ya marble, zaidi ya yote ni kuwa hazipitwi na wakati kutokana na kwamba ni jiwe la asili. Ni imara na kama itatunzwa vizuri meza ya marble inaweza kudumu kuliko fenicha nyingine zote.




No comments:

Post a Comment